Tuesday, March 8, 2011

HAIKUWA RAHISI

Katika kufanikisha sherehe ya Sr,Fausta na rafiki yake Sr,Lulu, ilikuwa ni mshikemshike ila mwenyezi Mungu alisimamia hadi tukafnikiwa.

Kila siku ya tukio kulikuwepo tukio jipya hasa, siku ya ijumaa tarehe 11/02/2011 wakati watu wanajiandaa kwenda KAWEKAMO kwenye sherehe ya Sr,Fausta, dada yetu wanayepandana marambili na Sr.Fausta aitwe Dada Speciother Alijifungua mtoto wa kiume, tukamwita jina la FAUSTINE. Haikuishia hapo, siku ya tarehe 26/02/2011 Kijijini Maligisu (Nyumbani kwao Sr.Fausta) ile wanamaliza kumchinja N'gombe wa sherehe, KAZALIWA Ng'ombe Jike, kafanan viilevile jinsia hadi rangi. MUNGU AITWE MUNGU.

No comments:

Post a Comment